“Nimesikitishwa sana na kifo cha mwanafunzi Akwilina Akwilini wa Chuo
cha Usafirishaji (NIT).Natoa pole kwa familia,ndugu,wanafunzi wa NIT na
wote walioguswa na msiba huu. Nimeviagiza vyombo vya dola kufanya
uchunguzi na kuwachukulia hatua za kisheria waliosababisha tukio hili”,
ameandika rais Magufuli.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
No comments