VIDEO: Mauaji, Diwani Mwingine auawa kwa kukatwakatwa Mapanga
Diwani wa Kata ya Namawala wilayani Kilombero Mkoani Morogoro, Godfrey
Luena (CHADEMA) ameuawa usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake kwa
kukatwakatwa kwa mapanga na watu wasiojulikana, Kupitia Naibu katibu
Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema kuwa wamesikitishwa na kitendo hicho
na kuagiza viongozi na wanachama wote kujilinda na kuchukua hatua
wanazozijua.

No comments