Header Ads

Watanzania wafurika kuuaga mwili wa ‘Akwilina Akwilini’ jijini Dar es salaam (+Picha)


Mamia ya Watanzania wamefurika kwenye viwanja vya Chuo cha Usafirishaji (NIT) Mabibo jijini Dar es salaam kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa chuo hicho, Akwelina Akwelini ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi Ijumaa ya wiki iliyopita kwenye maandamano ya CHADEMA.

Wananchi wakiwa kwenye viwanja vya NIT








No comments

Powered by Blogger.