Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali
ya Rufaa KCMC akisumbuliwa na maumivu makali ya kichwa, ameruhusiwa.
Ofisa Habari wa KCMC, Gabriel Chisseo amesema leo Jumatatu Februari 5,
2018 kuwa Mbowe ameruhusiwa baada ya madaktari kuridhishwa na afya yake
iliyorejea katika hali ya kawaida.
No comments