Mbunge wa Kinondoni kupitia chama cha mapinduzi, Maulid Mtulia ameshuhudia tukio la ugawaji misaada kwa waathirika wa maafuriko jimboni mwake. Msaada huo ulitolea na asasi zisizo za kiserikali. TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..USISAHAU KUSUBSCRIBE
No comments