Header Ads

"Haya ni maajabu nampongeza Mbunge Mariamu" Spika wa bunge


Spika wa bunge Job Ndugai amempongeza Mbunge wa viti Maalumu CCM, Mariamu Ditopile kwa kufanya mambo makubwa ndani ya chama hicho jijini Dodoma leo Juni 1 kwa kitendo cha kutumia zaidi ya milioni 25.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments

Powered by Blogger.