Header Ads

BURIANI MFALME WA REGGAE TANZANIA JAH KIMBUTE


 Sehemu ya marafiki wa karibu wa Jah Kimbute wakiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam Ijumaa jioni kuuaga mwili wa marehemu kabla ya kupelekwa Tanga kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika Jumamosi Septemba 22, 2018
 Marafiki wakiaga mwili wa Jah Kimbute
 Jeneza lenye mwili wa marehemu Jah Kimbute likiingizwa garini tayari kwa safari ya kwenda Tanga kwenye mazishi
 Marafiki wa karibu wa Jah Kimbute wakiomba dua katika  Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam Ijumaa jioni baada ya kuuaga mwili wa marehemu kabla ya kupelekwa Tanga kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika Jumamosi Septemba 22, 2018
Gotta Irie, Dj Ebony Moualim na Carola Kinasha wakimfariji Ras Kimbute, mtoto wa Jah Kimbute,  kabla ya kuanza safari ya kwenda Tanga.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

No comments

Powered by Blogger.