Header Ads

NAIBU WAZIRI WA NISHATI MGALU ATOA PONGEZI KWA TPDC KUPITIA KAMPUNI YAKE TANZU YA GASCO KWA KUKAMILISHA UTOBOAJI WA BOMBA LA GESI- MKURANGA


Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu akiongea na wanahabari mara baara ya kukagua eneo lilipokuwa inafanyika kazi ya utoboaji wa bomba la gesi asilia na kuweka toleo katika kijiji cha Mwanambaya Wilayani Mkuranga kwa ajili ya kuwasambazia wateja wa viwandani katika Wilaya hiyo. Picha na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG, Mkuranga.
Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu akipata maelezo machache kutoka kwa Mhandisi wa Mitambo wa Kampuni Tanzu ya GASCO, Dominic Ngunyami mara baada ya kutembelea eneo la lilipofanyika kazi ya utoboaji wa bomba la gesi asilia na kuweka toleo katika kijiji cha Mwanambaya Wilayani Mkuranga kwa ajili ya kuwasambazia wateja wa viwandani katika Wilaya hiyo.
 Bomba likiwa limetobolewa.
Mafundi wakikamilisha ufungaji wa bomba hilo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.


No comments

Powered by Blogger.