Header Ads

uchaguzi wa chama cha Baiskeli Tanzania CHABATA wasuasua

Afisa Habari wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari akikumbushia uchukuaji wa fomu za uchaguzi wa chama cha Baiskeli Tanzania CHABATA unaotarajiwa kufanyika tarehe 6 Oktoba, 2018 jijini Dodoma,ambapo mpaka sasa hakuna mgombea ata mmoja amefika ofisini kuchukua fomu hizo na kurudisha.


No comments

Powered by Blogger.