WAZIRI LUGOLA AWASILI TABORA AKIELEKEA MKOANI KIGOMA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akipokelewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Emmanuel Nleyi (kushoto) alipowasili mkoani humo, leo. Waziri Lugola yupo safarini akielekea mkoani Kigoma kikazi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati) akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Emmanuel Nleyi (kulia), pamoja Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani humo, SP Nestory Didi. Waziri Lugola yupo safarini akielekea mkoani Kigoma kikazi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati) akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Emmanuel Nleyi (kulia), pamoja Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani humo, SP Nestory Didi. Waziri Lugola yupo safarini akielekea mkoani Kigoma kikazi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments