Header Ads

Israel na Iran wafanya mazungumzo ya siri nchiini Jordan

Viongozi katika idara ya ulinzi wa Israel wakutana  kisiri na balozi wa Iran mjini Amman Mucteba Firdevsi Bur nchini Jordan. Viongozi hao wamekutana na kuzungumzia  mzozo uliopo Kusini-Magharibi mwa Syria.

Kulingana na taarifa zilizotolewa na  jarida la Saudi Arabia  ambalo makao makuu yake yapo mjini London Ilaf ni kwamba  viongozi  katika idara ya ulinzi ya Israel wamekutana kisiri na balozi wa Iran mjini Amman nchini Jordani.

Katika mazungumzo yao alishiriki pia  naibu mkurugenzi wa idara ya upelelezi wa Israel.



No comments

Powered by Blogger.