Watu 23 wafariki katika maporomoko ya ardhi
Watu 23 wafariki na wengine 6 wajeruhiwa katika maporomoko ya ardhi yaliotokea Oromiya kufuatia mvua kali zilizonyesha nchini Ethiopia.
Mvua kali zilizonyesha katika eneo la Oromiya zinesababisha vifo vya watu 23.
Vifo hivyo vimetokea kufuatia maporomoko ya ardhi yalisababishwa na mvua hiyo kali.
Taarifa zilizotolewa na FANA imefahamisha kuwa watu 23 wamefariki na wengine 6 wamejeruhiwa . Mvua hiyo iliosababaisha maafa imenyesha Jumamosi .
Miongoni mwa watu waliofariki walikuemo wanawake 16.
Mvua kali zilizonyesha katika eneo la Oromiya zinesababisha vifo vya watu 23.
Vifo hivyo vimetokea kufuatia maporomoko ya ardhi yalisababishwa na mvua hiyo kali.
Taarifa zilizotolewa na FANA imefahamisha kuwa watu 23 wamefariki na wengine 6 wamejeruhiwa . Mvua hiyo iliosababaisha maafa imenyesha Jumamosi .
Miongoni mwa watu waliofariki walikuemo wanawake 16.

No comments