Watu 16 wafariki kwa maafa ya Mvua
Watu 16 wamefariki na wengine kadhaa wajeeuhiwa Kaskazini mwa Nigeria kutokana na mvua kali zilizosababisha mafuriko.
Kutokana na mvua kali zilionyesha katika eneo Bauchi, watu 16 wamefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Mvua kali zimwnyesha usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili zimepelekea baadhi ya vituo vya biashara kufungwa na bidhaa tofauti kuharibika kwa maji.
Majumba kadhaa yamebomoka, miti kung oka huku hofu ya mvua kuendelea ikitanda.

No comments