Waziri Uturuki azungumzia ushirikiano kati yao na China
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Mevlüt Çavuşoğlu katika ziara yake ya siku mbili nchini China azungumzia ushirikiano baina ya Uturuki na China.
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki amewasili Ijumaa nchini China baada ya kualikwa na waziri wa mambo ya nje wa Chiba Wang Yi.
Mawaziri hao wamezungumza kuhusu ushirikiano katika sekta tofauti ikiwemo sekta ya biashara.
Akizungumza na waziri wa mambo ya nje wa Uturuki na waandishi wa habari, Wang Yi amesema kuwa kuna umuhimu mkubwa kushirikinao na Uturuki kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na kufikia kunako malengo

No comments