Header Ads

PICHA: RED CARPET LILIVYOKUWA TUZO ZA 2018 MTV VIDEO MUSIC

Ashanti
TAMASHA la  2018 MTV Video Music Awards lilifanyika uziku wa kuamkia jana Agosti 20 kwenye ukumbi wa Radio City Music Hall jijini New York.
Cardi B, aliyeongoza orodha ya washindi kwa kupata tuzo kumi na mbili, ndiye aliyefungua tamasha hilo akifuatiwa na  Beyoncé aliyepata tuzo tisa, Jay-Z alifuata akiwa na tuzo nane,  wakati  Childish Gambino na Drake walipokea tuzo saba kila mmoja.
Wakati huohuo, zulia jekundu nalo lilipitiwa na mastaa kadhaa ambao walinaswa na kamera.  Nao ni wafuatao:
***

Cardi B
Jennifer Lopez
Teyana Taylor
Kylie Jenner
Nicki Minaj
Rita Ora
Winnie Harlow
Winnie Harlow
Shanina Shaik
Dascha Polanco
Chloe X Halle
Alex Rodriguez na Jennifer Lopez
Pete Davison and Ariana Grande
Victor Cruz and Karrueche Tran
Gucci Mane and Keyshia Ka’Oir
DJ Khaled, Asahd Khaled and Nicole Tuck
Tiffany Haddish
Blake Lively
Anna Kendrick
Olivia Munn
Millie Bobby Brown
SZA
Bebe Rexha
Camila Cabello
Hayley Kiyoko
Shay Mitchell
Amara La Negra
Erica Mena
Teairra Mari
Yandy Smith
Amber Rose
Blac Chyna


No comments

Powered by Blogger.