
HABARI KATIKA PICHA: JamiiForums tuliripoti kuhusu kupatikana kwa mabaki ya mwili wa Mwalimu mstaafu, Alison Mcharo aliyetoweka 2006 baada ya kupokea mafao
Hizi ndio picha halisi za mabaki hayo

Mkewe na Mwanaye wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo.
No comments