Header Ads

Kimeumana..Msanii Eric Omondi Akamatwa na Polisi Baada ya Kuanzisha Maandano Bungeni


Eric Omondi akipambana na Polisi wa Kenya Baada ya Kuhamasisha Maandano katika Maeneo ya Bunge Kenya ya kuwatetea wasanii wa Music Nyimbo zao zipigwe Radioni Asilimia 75

Erick Omondi amekamatwa na kwa sasa yupo mikononi mwa Polisi taarifa zaidi zitawajia 


No comments

Powered by Blogger.