Header Ads

Jeshi la ushirika dhidi ya Daesh lakiri wanajeshi wa Ufaransa kushirikiana na Magaidi



Jeshi la muungano dhidi ya wanagambo wa Daesh linaloongozwa na Marekani lakiri kuwa wanajeshi wa Ufaransa wameshirikiana na wanamgambo wa Daesh.
Jeshi la ushiriki linaloongozwa na jeshi la Marekani katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh lakiri kuwa wanajeshi wa Ufaransa  wameshirikiana na wanamgambo wa kundi la  PKK/YPG Dashicha nchini Syria.
Picha zilizonaswa wakati wa shambulizi la kombora la jeshi la Ufaransa  dhidi ya wanamgambo wa Daesh zilisambazwa katika  ukurasa wa Twitter wa jeshi la ushirika.
Shirika la habari la Anadolu la Uturuki  lilifahamisha Machi 30 kuwa wanajeshi 70 wa Ufaransa  walikuwa wakishirikiana na  kundi la wanagambo wa PKK/YPG  nchini Syria.



No comments

Powered by Blogger.